About
Hichi ni kituo cha habari kwa
maendeleo ya wafugaji mkoa wa Kaskazini Pemba - Zanzibar - Tanzania.
Tunalengo la Kuwasaidia wafungaji wa
Mkowa wetu elimu ya ufugaji wa kiksasa kwa lengo la kukuza kipato chao na ndio
maana tukaanzisha kituo hichi.
Lengo letu nikuwafikia wafugaji wote
wa Pemba ili kuweza kutoa elimu na kubadili mawazo
kutokana na ufungaji wao lakini bado hadi sasa hatuja weza kuwafikia kutokana
na uhaba wa vitendea kazi pamoja na fedha za kutosha ili kuwafikia pale walipo.
Tumeanzisha Kituo hichi Tukiwa na lengo la kufungua Radio itakayo julikana
kwa jina la ( NOTHERN COMMUNITY MEDIA FOR
PARSTORALISM DEVELOPMENT ). Kwa
kifupi {NOCOMPED}.
Tumefanikiwa kufungua blog ambayo kwa
sasa imekuwa maarufu sana kwenye mitandao ya kijamii ambayo inajulikana kwa
jina la https://nocompedcommunitymedia.blogspot.com. pia kupia vyanzo hivi vya
kijamii kama vile.
facebook tunapatikana kwa : https://www.facebook.com/Nocomped-Community-Media-From-Pemba-1275332965815576/
Twiter ni : https://twitter.com/alingome11
Youtube : Nocomped Community Media From Pemba.
linkedin:https://www.linkedin.com/in/ali-fort-ab9a90154
tumblr:http://lovenocompedcommunitymediablr.tumblr.com.
na kwa barua pepe ni: nocompedfmradio@yahoo.com nk.
Hakuna maoni
Chapisha Maoni