Hichi ni kituo cha habari kwa maendeleo ya wafugaji ambacho kina patikana katika Mkoa Wa Kaskazini Pemba Kilianzishwa mwaka 2014 kipo Micheweni . ( TUPO NAWE NA TUTAKUFIKIA ULIPO ). 0777463543 / 0777107807.nocompedfmradio@yahoo.com.
Waeleze wana kuwa KibandaMaiti ZANZIBAR kuna jambo. Mjulishe mwenzako kuwa wanaCCM wana JAMBO lao na Rais wao ajaye.... Mtu wa watu, Mnyenyekevu, Kijana Mchapakazi na anayekubalika Dkt Hussein Mwinyi.
Ni kesho JUMAMOSI tarehe 12 Septemba 202O.
Mgombea Urais CCM Zanzibar Dr Hussein Mwinyi Kuzindua Kampeni Kesho Jumamosi Septemba 12 - KibandaMaiti.
Reviewed by NOCOMPED COMMUNITY MEDIA
on
08:27
Rating: 5
Hakuna maoni
Chapisha Maoni